Nairobi
From Wikimedia Commons, the free media repository
Nairobi ni mji mkuu wa Kenya na vilevile mojawapo ya mikoa ya Kenya. Ni kati ya miji mikubwa ya Afrika ukiwa na wakazi wapatao milioni 3 katika eneo la 150 km². Jina Nairobi limetokana na neno la Kimaasai, Enkarenairobi, linalomaanisha "mahali penye maji baridi."bigfoot sighting there once

